Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za nne, 61 na 85 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund, Ujerumani. Bao lingine lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 59 na Dortmund inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Auburn's Bruce Pearl Slams Fans for Criticizing Chad Baker-Mazara After
Yale Ejection
-
Auburn head coach Bruce Pearl came to the defense of Chad Baker-Mazara
after the junior guard was ejected from the Tigers' 78-76 loss to Yale in
the first…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment