• HABARI MPYA

    Saturday, February 04, 2017

    YANGA SC NA STAND UNITED KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa Stand United, Erick Mulilo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-0 
    Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akipiga kichwa mpira wa juu mbele ya Erick Mulilo wa Stand United
    Kiungo Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa akimuacha chini beki wa Stand United Job Ibrahim 
    Beki wa Yanga, Juma Abdul akimuacha chini kiungo wa Stand United, Suleiman Kassim 'Selembe'
    Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akimiliki mpira katika ya wachezaji wa Stand United
    Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimtoka mchezaji wa Stand United 
    Haruna Niyonzima akimtoka mchezaji wa Stand United jana Uwanja wa Taifa
    Simon Msuva akijiandaa kupiga mpira mbele wa kipa Stand United, Mohamed Makaka akakosa bao la wazi
    Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
    Kikosi cha Stand United katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA STAND UNITED KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top