Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa Stand United, Erick Mulilo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-0
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akipiga kichwa mpira wa juu mbele ya Erick Mulilo wa Stand United
Kiungo Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa akimuacha chini beki wa Stand United Job Ibrahim
Beki wa Yanga, Juma Abdul akimuacha chini kiungo wa Stand United, Suleiman Kassim 'Selembe'
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akimiliki mpira katika ya wachezaji wa Stand United
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimtoka mchezaji wa Stand United
Haruna Niyonzima akimtoka mchezaji wa Stand United jana Uwanja wa Taifa
Simon Msuva akijiandaa kupiga mpira mbele wa kipa Stand United, Mohamed Makaka akakosa bao la wazi
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha Stand United katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
David Warner is DROPPED by IPL team as Ricky Ponting makes brutal call to
cut Australian veteran amid woeful run of form
-
A day after Marcus Stoinis belted an IPL century to bolster his World Cup
credentials veteran opener David Warner was dropped by his team amid
flagging ret...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment