Mshambuliaji Luiz Suarez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 43 katika sare ya 1-1 na Atletico Madrid usiku wa jana katika nusu ya pili ya Kombe la Mfalme Uwanja wa Camp Nou. Suarez baadaye alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 na kuifanya Barca imalize na wachezaji tisa kufuaia Sergi Roberto naye kutolewa kwa kadi nyekundu pia dakika ya 57, wakati Atletico nao walimpoteza Yannick Carrasco aliyetolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 69 huku bao la wageni likifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 83 baada ya awali mchezaji huyo kukosa penalti dakika ya 80. Barca inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinea 2-1 ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woj: Heat Could Pursue Trade for All-Star-Level Player During NBA Offseason
-
The Miami Heat are heading to the postseason after beating the Chicago
Bulls in the play-in tournament Friday night, but the team could be gearing
up for a…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment