Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akimruka vizuri beki wa Prisons, Salum Kimenya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0
Mshambuliaji Mrundi wa Simba, Ibrahim Hajib akiifungia timu yake bao la tatu jana
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akipasua katikati ya mabeki wa Prisons
Viungo Mohammed Samatta wa Prisons (kushoto) na Shizza Kichuya wa Simba (kulia) wakiwania mpira jana
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kulia) akimtoka beki wa Prisons, Nurdin Chona jana
Mshambuliaji wa Simba, Juma Luizio akimtoka beki wa Prisons, Jumanne Elfadhil
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Prisons
Waachezaji wa Simba na Prisons wakiwania mpira wa kona
Kikosi cha Simba katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Prisons jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaaam
Preview: Arsenal v Chelsea
-
Get all the pre-match information ahead of our Premier League London derby
with Chelsea at Emirates Stadium on Tuesday
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment