Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia na wenzake Kieran Gibbs na Hector Bellerin baada ya kuifungia mabao yote mawili The Gunners katika ushindi wa 2-0 jioni ya leo dhidi ya Hull City Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sanchez alifunga bao la kwanza dakika ya 34 na la pili dakika 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment