• HABARI MPYA

    Thursday, February 09, 2017

    MTANZANIA ULINGONI JUMAMOSI INDIA

    Bondia Mtanzania, Said Mbelwa (kulia) akiwa na kocha wake, Emmanuel Mlundwa na mwenyeji wao, Rick (kushoto) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kolkata, India tayari kwa pambano lake la Jumamosi dhidi ya Brijesh Briizz ukumbi wa Khudiram Anushilan, Kendra, Kolkata.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTANZANIA ULINGONI JUMAMOSI INDIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top