Washambuliaji Luis Suarez (kulia) na Lionel Messi (kushoto) wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Suarez alifunga dakika ya saba akimalizia pasi ya Javier Mascherano na Messi dakika ya 33 akimalizia pasi ya Ivan Rakitic, kabla Antoine Griezmann kuifungia Atletico dakika ya 59 akimalizia pasi ya Diego Godin. Barcelona sasa watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mchezo wa marudiano Jumanne Uwanja wa Nou Camp PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks' Josh Hart Responds to 76ers' Reed: 'Don't Give a F--k About What He
Said'
-
After Paul Reed made himself public enemy No. 1 for the New York Knicks
leading into their playoff matchup with the Philadelphia 76ers, Josh Hart
had a frank…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment