Kikosi cha Fanja FC ya Oman kilichofungwa mabao 2-1 na wenyeji, Al Ahed ya Lebanon katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Uarabuni juzi Saida International mjini Saida. Timu hizo zitarudiana Jumatano ya Februari 8, mwaka huu, Uwanja wa Al-Seeb, Muscat, Oman na Fanja watatakiwa kushinda 1-0 nyumbani ili kusonga mbele. Wa kwanza kulia mbele ni kiungo wa zamani wa Yanga, Mbuyu Twite na wa tatu kutoka kushoto nyuma ni mshambuliaji wa zamani wa Simba, Daniel Lyanga
PLAYER RATINGS: Phil Foden rewarded Pep Guardiola for granting him freedom
and Kyle Walker was relentless, but which Brighton star learnt brutal
lesson and earned 4/10?
-
PLAYER RATINGS: Mail Sport's Kieran Gill rates the players as Manchester
City cruised to a 4-0 win over Brighton as the reigning champions closed
the gap t...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment