Leroy Sane akimrukia mgongoni mkongwe, Yaya Toure kumpongeza baada ya kufunga bao la nne kwa penalti dakika ya 67 Manchester City ikiwachapa 4-0 wenyeji, West Ham United usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 17, David Silva dakika ya 21 na Gabriel Jesus dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders coach Ricky Stuart reveals whether recent Des Hasler blue outside
the dressing room in Canberra ruined a 35-year friendship
-
Raiders coach Ricky Stuart has addressed suggestions of a feud with Titans
counterpart Des Hasler. It follows ugly scenes outside the dressing rooms
in Can...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment