Kiungo wa Tottenham, Dele Alli akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya England kwa mwezi Januari baada ya kukabidhiwa leo. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa England alifunga mabao matano mwezi uliopita, Spurs ikimaliza bila kupoteza mechi na amemshinda mchezaji mwenzake, Harry Kane, aliyefunga mabao matano pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kocha wa Swansea City, Paul Clement akiwa na tuzo yake ya kocha Bora wa mwezi Januari Ligi Kuu ya England baada ya kukabidhiwa leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kocha wa Swansea City, Paul Clement akiwa na tuzo yake ya kocha Bora wa mwezi Januari Ligi Kuu ya England baada ya kukabidhiwa leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment