Nyota wa FC Barcelona, Lionel Messi akiangalia juu baada ya kufunga kwa mpira wa adhabu dakika ya 40 kuipatia timu yake bao la pili timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 18 na Aleix Vidal dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League forced to move clash between Tottenham and Nottingham Forest
at 10 DAYS' notice due to train and tube strikes... as next weekend's game
is brought forward 24 hours to unusual kick-off time
-
In a statement, they said: 'The Premier League apologises unreservedly to
supporters of both Clubs, and all those affected, for the inconvenience and
disru...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment