Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (katikati) akipongezwa na wenzake, Luis Suarez (kulia) na Neymar Jr. (kushoto) baada ya Alexis Ruano wa Alaves kujifunga dakika ya 63 kuipatia Barca bao la nne katika ushindi wa 6-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz leo. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Suarez mawili dakika za 37 na 67, Neymar dakika ya 40, Messi dakika ya 59 na Ivan Rakitic dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luke Littler taunts Liverpool fans over Merseyside derby defeat... as the
Man United fan is jeered at Premier League Darts before beating Gerwyn Price
-
The 17-year-old is a vocal Man United supporter, leading to him being booed
ahead of his walk-on for his quarter-final match against Gerwyn Price at
the M&...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment