Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Mohammed akijaribu kuwatoka mabeki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 1-0 bao pekee la Yahya Mohammed
Samuel Afful (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Ndanda
Gardiel Michael (kulia)akimtoka mchezaji wa Ndanda
Shaaban Iddi wa Azam (kulia) akimtoka mchezaji wa Ndanda
Joseph Mahundi wa Azam akipiga mpira mbele ya mchezaji wa Ndanda
Kikosi cha Azam jana
Samuel Afful (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Ndanda
0 comments:
Post a Comment