Beki wa Yanga, Juma Abdul (kushoto) akimtoka mchezaji wa Jamhuri ya Pemba katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mapinduzi usiku wa jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Yanga ilishinda 6-0
Kiungo wa Yanga, Mzambia Justin Zulu aliumia jana na kushindwa kumalizia mchezo
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akimtoka beki wa Jamhuri
Kiungo wa Yanga, Mnyarwanda Haruna Niyonzima akimtoka mchezaji wa Jamhuri
Wachezaji wa Yanga, Martin na Niyonzima wakimpongeza mshambuliaji Mzimbabwe Donald Ngoma baada ya kufunga mabao mawili
Kikosi cha Yanga kilichoanza jana
Dak Prescott Rumors: QB's Stance on Contract Revealed as Cowboys Deny False
Narrative
-
Despite not having a sense of urgency to get a contract extension done with
Dak Prescott, the Dallas Cowboys aren't necessarily looking to move on from
their…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment