Mshambuliaji wa Argentina, Carlos Tevez akiwa amezungukwa na umati wa watu baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Shanghai Pudong, China jana tayari kujiunga na klabu yake mpya, Shanghai Shenhua ambako atakuwa akilipwa zaidi ya wachezaji wote duniani, Pauni 615,000 kwa wiki. Mchezaji huyo wa zamani wa West Ham, Manchester United na Manchester City kwa sasa anawazidi hadi Muargentina mwenzake, Lionel Messi na Mreno Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kevin De Bruyne is 'better than Gerrard, Lampard, Silva and Toure' and is
No 1 midfielder in Premier League history, claims Jamie Redknapp after
Belgian's ridiculous header from 15 yards
-
Sky Sports pundit Jamie Redknapp believes Kevin De Bruyne's ability to
produce things that are 'out of this world' elevates him to be the best
midfielder i...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment