Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwapigia makofi mashabiki baada ya kuifungia timu hiyo bao la kusawazisha dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya dakika 90 za kawaida katika sare ya 1-1 na wenyeji, Stoke City leo Uwanja wa Bet365 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Juan Mata alijifunga dakika ya 19 kuipatia Stoke bao la kuongoza wakati Rooney leo amefunga bao lake la 250 na kuvunja rekodi ya mabao kwa Mashetani hao Wekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United enter the race for in-demand Leipzig forward Dani Olmo
who has a £52m release clause this summer - but face competition from Real
Madrid, Man City, Chelsea and Tottenham for the Spain international
-
SIMON JONES: The 25-year-old Spain international is continuing to excel at
Red Bull Leipzig and has a clause that becomes active this summer when he
can le...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment