Sergio Ramos akipiga kichwa kujifunga katika harakati za kuokoa shuti la mpira wa adhabu zikiwa zimebaki dakika sita na kuipatia Sevilla bao la kusawazisha Real Madrid ikilala 2-1 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan. Bao lingine la Sevilla lilifungwa na Stevan Jovetic dakika ya 90 na ushei, wakati la Real lilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brandon Aiyuk on 49ers Contract Talks, Trade Rumors: 'Trying to Get What I
Deserve'
-
Brandon Aiyuk is not making it a secret that he wants to get paid this
offseason, whether it's from the San Francisco 49ers or another team.
Appearing on the…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment