Nyota wa Chelsea, Pedro akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 18 na 75 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Peterborough kwenye mchezo wa Komba la FA usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Michy Batshuayi dakika ya 44 na Willian dakika ya 53, wakati la Peterborough lilifungwa na Tom Nichols huku mkongwe John Terry akitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No game is too easy for Man United as Bruno Fernandes saves Erik ten Hag's
blushes against Sheffield United... the Dutchman continues to give the club
reasons why he shouldn't be part of their plans, writes CHRIS WHEELER
-
MANCHESTER UNITED 4-2 SHEFFIELD UNITED - CHRIS WHEELER AT OLD TRAFFORD:
Nothing is straightforward for Manchester United at this moment in what has
been a ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment