Kiungo wa Manchester United, Juan Mata akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 63 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United jana Uwanja wa London. Bao la pili la Man United lilifungwa na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 78 katika mchezo ambao Sofiane Feghouli wa West Ham alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu ya kawaida Phil Jones iliyostahili hata kadi ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footage shows Real Madrid star Antonio Rudiger telling Andriy Lunin where
to dive before vital penalty save in Champions League win against
Manchester City... and did Kepa help teammate call Bernardo Silva's bluff?
-
Antonio Rudiger appeared to tell Andriy Lunin which way Mateo Kovacic would
send his penalty before the goalkeeper made a vital save to help Real
Madrid be...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment