Wachezaji wa Manchester City wakishangilia bao lao la nne katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji West Ham United usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la FA Raundi ya Tatu Uwanja wa London. Mabao ya City yalifungwa na Yaya Toure dakika ya 33 kwa penalti, Havard Nordtveit aliyejifunga dakika ya 41, David Silva dakika ya 43, Sergio Aguero dakika ya 50 na John Stones dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag insists Man United will 'move on' after Alejandro Garnacho
apologises for liking critical social media posts... but admits the winger
has 'to learn a lot'
-
Alejandro Garnacho has apologised for the social media 'likes' that led to
him being reprimanded by Manchester United manager Erik ten Hag.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment