• HABARI MPYA

    Wednesday, January 18, 2017

    MAMBO YA KADITO SI MCHEZO, ASHUSHA DOGO MRUNDI GALATASARAY

    Wakala wa wachezaji, Mtanzania Dennis Kadito (kulia) akiwa na mchezaji chipukizi wa Burundi, kiungo Youssuf Ndayishimiye mwenye umri wa miaka 18 kutoka klabu ya Aigle Noir ya kwao. Wawili hao wapo mjini Galatasaray, Uturuki, ambako Ndayishimiye amepelekwa kwa majaribio katika klabu ya Galatasaray
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO YA KADITO SI MCHEZO, ASHUSHA DOGO MRUNDI GALATASARAY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top