Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Athumani Machuppa amesema si rahisi Tanzania kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 kama baadhi wanavyofikiria.
Baada ya Taifa Stars kupangwa Kundi L kufuzu AFCON mwaka 2019 nchini Cameroon pamoja na timu za Uganda, Cape Verde na Lesotho wiki iliyopita mjini Libvreville, Gabon wengi wanaamini njia nyeupe kwenda Cameroon 2019.
Lakini Machuppa anasema; “Kama tunataka kwenda Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 lazima tujipange haswa,”.
Akifafanua mchezaji huyo wa zamani wa Simba, Al Hemria, Sharjah za Dubai, Atraco FC ya Rwanda, Aalborg FF ya Denmark na Vasalund IF ya Sweden, amesema kujipanga ni kwa maandalizi, kwani viwango vya wapinzani wetu katika Kundi L si vya kubeza.
MSHAMBULIAJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Athumani Machuppa amesema si rahisi Tanzania kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 kama baadhi wanavyofikiria.
Baada ya Taifa Stars kupangwa Kundi L kufuzu AFCON mwaka 2019 nchini Cameroon pamoja na timu za Uganda, Cape Verde na Lesotho wiki iliyopita mjini Libvreville, Gabon wengi wanaamini njia nyeupe kwenda Cameroon 2019.
Lakini Machuppa anasema; “Kama tunataka kwenda Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 lazima tujipange haswa,”.
Akifafanua mchezaji huyo wa zamani wa Simba, Al Hemria, Sharjah za Dubai, Atraco FC ya Rwanda, Aalborg FF ya Denmark na Vasalund IF ya Sweden, amesema kujipanga ni kwa maandalizi, kwani viwango vya wapinzani wetu katika Kundi L si vya kubeza.
0 comments:
Post a Comment