Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiuvuta mpira kiutaalamu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo dhidi ya Liverpool Uwanja wa Old Trafford. Ibrahimovic aliifungia Man United bao la kusawazisha dakika ya 84 baada ya James Milner kutangulia kuifungia Liverpool kwa penalti dakika ya 27, kufuatia Paul Pogba kuunawa mpira akimdhibiti Dejan Lovren PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Premier League title hopes have gone up in smoke just as Jurgen
Klopp and Mohamed Salah started to run on empty, writes DOMINIC KING
-
DOMINIC KING: After that 1-0 defeat to Palace on April 14, Liverpool's
first at home in the Premier League for almost two years, Jurgen Klopp's
(left) deme...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment