Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akifumua shuti kuifungia timu yake bao la nne na la tatu kwake katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya West Brom jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Spurs imeshinda 4-0, Kane akifunga dakika za 12, 78 na 82, wakati lingine beki Gareth McAuley alijifunga dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle's Sandro Tonali who was banned for 10 months for betting offences
while playing in Italy has now been charged by FA with 50 offences of
placing bets earlier this season
-
It comes after the Newcastle player was handed a 10-month ban from
competitive football for breaching betting rules in Italy in October.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment