Mshambuliaji Dele Alli akienda juu kuifungia kwa kichwa Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 54 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane mjini London. Dele alifunga na bao la kwanza pia dakika ya 45 yote akimalizia pasi za Christian Eriksen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment