Mshambuliaji Christian Benteke (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Crystal Palace mabao mawili dakika za 68 na 77 baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Loic Remy dakika ya 62 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bolton Wanderers usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park, London. Bolton walitangulia kwa bao la James Henry dakika ya 48. Crystal Palace sasa itamenyana na Manchester City katika Raundi ya Nne ya FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup final details confirmed
-
The kick-off time for the second all-Manchester showpiece occasion at
Wembley has been announced.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment