Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akimuangusha mshambuliaji wa Villarreal, Alexandre Pato katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa El Madrigal, timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Villarreal walitangulia kwa bao la Nicola Sansone dakika ya 49 kabla ya Lionel Messi kuisawazishia Barca kwa shuti la mpira wa adhabu dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane has a 'DINOSAUR mentality', blasts West Ham striker Michail
Antonio - after Man United legend made thinly-veiled dig at him for
podcasting and 'having a laugh' after defeats
-
Michail Antonio has hit out at Roy Keane's 'dinosaur mentality' after the
Manchester United legend criticised players who host podcasts.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment