Meli ya kubeba abiria na magari, Azam Sea Link 2 itakayokuwa ikifanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Zanzibar ikiwa maeneo ya Bandari ya Zanzibar baada ya kuwasili nchini tayari kuanza kazi. Meli mali ya kampuni ya Bakhresa Group Limited, wamiliki wa klabu ya Azam FC pia, inaungana na Azam Sea Link 1 hivyo kufanya safari za abiria na magari yao kati ya Dar es Salaam na Zanzibar kuongezeka
Report: Tiger Woods to Get $100M PGA Tour Equity Payout; Rory McIlroy Could
Get $50M
-
Tiger Woods will receive "up to $100 million," while Rory McIlroy could get
$50 million as equity payments from the PGA Tour after neither golfer
joined Sa...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment