• HABARI MPYA

    Sunday, December 18, 2016

    YANGA NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA UHURU

    Beki wa JKT Ruvu, Edward Joseph akijaribu kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishonda 2-0
    Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko (kulia) akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa JKT Ruvu, Hassan Dilunga 
    Winga wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpira beki wa JKT Ruvu, Edward Charles
    DonaldNgoma wa Yanga akipasua katikati ya mabeki wa JKT Ruvu 
    Kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya mchezaji wa JKT Ruvu
    Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akiuchungulia mpira miguuni mwa beki wa Ruvu, Michael Aidan Pius 
    Beki wa Yanga akipiga mira kichwa kuondosha hatarini dhidi ya mshambuliaji wa JKT Ruvu, Najim Magulu 
    Manahodha; Haruna Niyonzima wa Yanga (kushoto) na Michael Aidan Pius wa JKT Ruvu 
    Beki wa Yanga, Juma Abdul akitia krosi baada ya kumpita beki wa JKT Ruvu
    Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Hans van der Pluijm akizungumza na Mwanasheria maarufu nchini, Alex Mgongolwa (kushoto) wakati mchezo ukiendelea
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top