Beki wa JKT Ruvu, Edward Joseph akijaribu kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishonda 2-0
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko (kulia) akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa JKT Ruvu, Hassan Dilunga
Winga wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpira beki wa JKT Ruvu, Edward Charles
DonaldNgoma wa Yanga akipasua katikati ya mabeki wa JKT Ruvu
Kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya mchezaji wa JKT Ruvu
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akiuchungulia mpira miguuni mwa beki wa Ruvu, Michael Aidan Pius
Beki wa Yanga akipiga mira kichwa kuondosha hatarini dhidi ya mshambuliaji wa JKT Ruvu, Najim Magulu
Manahodha; Haruna Niyonzima wa Yanga (kushoto) na Michael Aidan Pius wa JKT Ruvu
Beki wa Yanga, Juma Abdul akitia krosi baada ya kumpita beki wa JKT Ruvu
Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Hans van der Pluijm akizungumza na Mwanasheria maarufu nchini, Alex Mgongolwa (kushoto) wakati mchezo ukiendelea
Premier League forced to move clash between Tottenham and Nottingham Forest
at 10 DAYS' notice due to train and tube strikes... as next weekend's game
is brought forward 24 hours to unusual kick-off time
-
In a statement, they said: 'The Premier League apologises unreservedly to
supporters of both Clubs, and all those affected, for the inconvenience and
disru...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment