Mjamaica Usain Bolt na Mhabeshi Almaz Ayana wakiwa wameshikilia tuzo zao za Wanariadha Bora wa kiume na wa kike wa Mwaka kutoka Shirikisho la Kimataifa la Riadha (IAAF) baada ya kukabidhiwa jana mjini Monaco, Ufaransa. Usain Bolt alitwaa Medali yake ya tisa ya Dhahabu ya Olimpiki baada ya kutwaa tena mjini Rio mwaka huu na sasa kijana huyo wa umri wa miaka 30 atastaafu mwakani baada ya michuano ya Dunia, akikimbia mbio za mita 100 na relay ya 4x100 katika msimu wake wa mwisho. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: FA did NOT discuss controversial decision to scrap replays with
FA Cup Committee - as details emerge of heated meeting with EFL
representatives
-
The FA's controversial move to scrap FA Cup replays from next season was
not discussed by the governing body's FA Cup Committee in another
indication of th...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment