Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo (kulia) akiruka kupiga kichwa na kukosa bao la wazi katika mchezo wa Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia leo dhidi ya Club-America Uwanja wa Nissan mjini Yokohama, Japan. Real imeshinda 2-0, mabao ya Karim Benzema dakika ya 45 na ushei na Ronaldo dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Kerr: 'A Lot of Value' in Keeping Steph, Klay, Draymond Together
'For Life'
-
After the Golden State Warriors' season-ending play-in tournament loss to
the Sacramento Kings on Tuesday, head coach Steve Kerr expressed the
importance of…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment