Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia na taji lao la Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA baada ya kuifunga mabao 4-2 Kashima Antlers leo Uwanja wa Nissan mjini Yokohama, Japan katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 baada ya dakika 90 kwisha kwa sare ya 2-2. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Cristiano Ronaldo matatu dakika za 60 kwa penalti, 97 na 104 wakati ya Kashima yalifungwa na Gaku Shibasaki yote dakika za 44 na 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Posts Video Shadowboxing with Shannon Briggs in NY Before Jake
Paul Fight
-
Mike Tyson is hard at work preparing for his upcoming bout with Jake Paul.
The former heavyweight champ posted a video of himself shadowboxing with
Shannon…
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment