• HABARI MPYA

    Sunday, December 04, 2016

    RASHID MATUMLA ALIPOFANYA ‘MAZITO’ ITALIA 1999

    Bondia Mtanzania, Rashid Matumla akivikwa mkanda wake wa ubingwa wa dunia wa WBU uzito wa Light Middle baada ya kuutwaa kwa kumshinda Mtaliano Paolo Pizzamiglio Mei 6 mwaka 1999 mjini Piacenza, Emilia Romagna nchini Italia kwa Technical Knockout (TKO)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASHID MATUMLA ALIPOFANYA ‘MAZITO’ ITALIA 1999 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top