• HABARI MPYA

    Friday, December 02, 2016

    MBAO FC WAPATA 'UDHAMINI MNONO'

    Mhasibu Mkuu wa Hawaii Products Supplies, Said Khamis (kushoto) akimkabidhi Mwenyekiti wa Mbao FC ya Mwanza, Solly Zephania Njashi (kulia) jezi ye nembo ya maziwa ya Cowbell yanayozalishwa na kampuni hiyo baada ya kusaini mkataba wa udhamini wa miezi sita kumalizia Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo mjini Dar es Salaam.
    Njashi (katikati) akisaini mkataba huo pzmoja na Maofisa Hawaii Products Supplies, Said Khamis (kushoto) na Meneja Masoko, Erisalia Ndeta leo Dar es Salaam. 
    Hawaii imeahidi kuongeza mkataba mrefu na mnono iwapo Mbao FC itafanikiwa kubaki Ligi Kuu mwishoni mwa msimu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBAO FC WAPATA 'UDHAMINI MNONO' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top