Bondia Lolenga Mock (kushoto) kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akizipia na Joseph Marwa wa Tanzania katika pambano la kuwania ubingwa wa Kanda ya Tano Afrika uzito wa Middle ukumbi wa Friends Corner, Manzese, Dar es Salaam Agosti 9 mwaka 1998 lililoandaliwa na Profesa Maji Marefu. Marwa alishinda kwa pointi za majaji wote, ingawa ushindi huo ulilalamikwa na mashabiki na mpinzani wake kwamba ulikuwa wa upendeleo
Bristol City 1-0 Leicester City: Jamie Vardy's miss proves costly as Foxes
slump to fourth defeat in last six games and could drop out of the
automatic promotion spots... despite leading the Championship for six months
-
JAMES SHARPE AT ASHTON GATE: How this Leicester City machine once purred
under Enzo Maresca. Now, it coughs and it splutters after a damaging defeat
at Bri...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment