Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akimpiga chenga kipa wa Manchester City, Claudio Bravo kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 4-2 usiku wa jana Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Vardy alifunga mabao yake dakika za tatu, 20 na 78, wakati bao lingine la Leicester lilifungwa na Andy King dakika ya tano, huku ya Man City yakifungwa na Aleksandar Kolarov dakika ya 82 na Nolito dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marouane Fellaini sheds new light on David Moyes' nightmare spell at Man
United - and labels it the 'worst season' he has ever experienced
-
Marouane Fellaini has admitted his first year at Manchester United was 'the
worst season of his career' as the club struggled under David Moyes.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment