• HABARI MPYA

    Thursday, December 01, 2016

    JUSTINE ZULLU ASAINI MIAKA MIWILI YANGA SC

    Kiungo Mzambia, Justine Zullu akisaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Yanga SC leo Dar es Salaam. Kiungo huyo wa zamani wa Zesco Unitd anakuja kuungana na kocha wake wa zamani, George Lwandamina

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUSTINE ZULLU ASAINI MIAKA MIWILI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top