Diego Costa akishangilia na Marcos Alonso baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 59 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 70 na Eden Hazard dakika ya 90, wakati Gary Cahil alijifunga dakika ya 45 kuipatia bao la kufutia machozi Man City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City 'are already preparing for life after Pep Guardiola' and believe
Girona's Michel could be the man to 'continue his legacy' after stunning
season in LaLiga
-
The club are working on a succession plan for their manager, whose contract
expires in the summer of 2025. Guardiola hinted he could extend his deal at
the...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment