Pierre-Emerick Aubameyang (kulia) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Borussia Dortmund bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na wenyeji, Hoffenheim usiku wa jana kwenye mchezo wa Bundesliga dakika ya 48 Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim. Bao lingine Dortmund iliyocheza pungufu baada ya Marco Reus kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41, lilifungwa na Mario Gotze dakika ya 11 wakati ya Hoffenheim yalifungwa na Mark Uth dakika ya tatu na Sandro Wagner dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch Shohei Ohtani get introduced as a Dodger for the first time by Brian
Cranston at Dodger Stadium on Opening Day amid a betting scandal and the
firing of his former interpreter Ippei Mizuhara
-
Los Angeles Dodgers star Shohei Ohtani tried to put on a happy face as he
was introduced as a member of his new team for the first time amid chaos
off the ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment