Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Arsenal katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United usiku wa Jumamosi Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Mesut Ozil na Alex Oxlade-Chamberlain, wakati bao la wenyeji lilifungwa na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Windhorst: Lakers' Anthony Davis Blamed Darvin Ham for G2 Loss with
Postgame Comments
-
Los Angeles Lakers star center Anthony Davis made pointed comments about
the coaching in the team's devastating Game 2 loss to the Denver Nuggets,
and one…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment