• HABARI MPYA

    Saturday, December 03, 2016

    1-1, BARCA WALIANZA, REAL WAKACHOMOA

    Kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic akitelezea miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kuondosha mpira huku akisaidiwa na mchezaji mwenzake, Luka Modric kumdhibiti Muargentina huyo katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Luis Suarez dakika ya 53 kabla ya Sergio Ramos kuisawazishia Real dakika ya mwisho katika mtanange wa El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 1-1, BARCA WALIANZA, REAL WAKACHOMOA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top