Kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic akitelezea miguuni mwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi kuondosha mpira huku akisaidiwa na mchezaji mwenzake, Luka Modric kumdhibiti Muargentina huyo katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Luis Suarez dakika ya 53 kabla ya Sergio Ramos kuisawazishia Real dakika ya mwisho katika mtanange wa El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former England rugby captain and World Cup winner Phil Vickery is declared
BANKRUPT as documents show he owes 'hundreds of thousands of pounds'
-
The Office of the Adjudicator granted Phil Vickery's request to be made
bankrupt on February 21 and on or before that date he stood down from at
least four...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment