YANGA NA RUVU SHOOTING KATIKA PICHA JANA 'SHAMBA LA BIBI'
Winga wa Yanga, Simon Msuva akiupigia hesabu mpira mbele ya wachezaji wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1
Beki wa Ruvu Shooting, Shaibu Nayopa (kulia) akiokoa mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto)
Nayopa (kulia) akitafuta maarifa ya kumpokonya mpira mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kushoto)
Kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga (kushoto) akimpita kiungo wa Ruvu, Issa Kanduru
Beki wa Yanga, Andrew Vincent akiwania mpira wa juu dhidi ya mshambuliaji wa Ruvu, Fully Zulu Maganga
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chiwa (kushoto) akimpira beki wa Ruvu, Renatus Kisase
Beki wa Ruvu, Mau Ally Bofu (kulia) akimiliki mpira pembeni ya beii wa Yanga, Hassan Kessy
Wafungaji wa mabao ya Yanga jana, Simon Msuva (kushoto) na Haruna Niyonzima (kulia) wakishangilia mbele ya wapicha piga wa vyombo mbalimbali vya Habari
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Kikosi cha Ruvu Shooting kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uhuru
Riskiest Big-Money 2024 NBA Free Agents
-
Some of this year's biggest free agents are about to ride their names,
reputations and previous history to one last big payday, whether it's
deserved or not.…
Lars Ricken wird Geschäftsführer Sport
-
Borussia Dortmund strukturiert seinen Geschäfts- und Unternehmensbereich
Sport neu. Der Präsidialausschuss des Beirates der Borussia Dortmund
Geschäftsführ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment