• HABARI MPYA

    Monday, November 07, 2016

    YANGA NA PRISONS KATIKA PICHA JANA SOKOINE

    Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akimtoka Nahodha wa Prisons, Benjamin Asukile katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Yanga ilishinda 1-0  
    Wachezaji wa Yanga, Obrey Chirwa (kulia) na Deus Kaseke (kushoto) wakimuacha chini mchezaji wa Prisons
    Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Prisons, Salum Kimenya 
    Mshambuliaji Mzambia wa Yanga, Obrey Chirwa (kushoto) akipambana na Lambert Sabiyanka wa Prisons
    Haruna Niyonzima akimtoka Mohaammed Samatta jana Uwanja wa Sokoine  
    Mfungaji wa bao pekee la Yanga, Simon Msuva (kulia) akimtoka beki wa Prisons, James Mwasote
    Wachezaji wa Prisons na Yanga wakiwania mpira wa juu
    Refa akiwaondoa wachezaji wa Yanga waliomfuata kulalamikia jambo kwake
    Kikosi cha Yanga jana katika mchezo uliokuwa wa vuta nikuvute
    Kikosi cha Prisons katika mchezo wa jana Uwanja wa Sokoine
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA PRISONS KATIKA PICHA JANA SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top