Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (kulia) akimkabidhi bendera ya taifa mrembo, Julitha Kabete leo ofisini kwake, Dar es Salaam kwa ajili ya kwenda kushiriki shindano la Miss Afrika mjini Calabar nchini Nigeria Novemba 28, mwaka huu
Waziri Nape akiwa na wadau mbalimbali pamoja na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kushoto)
0 comments:
Post a Comment