Beki Michael Aidan wa Tanzania akijiandaa kumtoka mchezaji wa Zimbabwe, Danny Phiri katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0. PICHA ZOTE NA ALFRED LUCAS WA TFF
Beki wa Zimbabwe, Hadebe Teenage akiruka mbele ya mshambuliaji wa Tanzania, Elius Maguri kuwania mpira wa juu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kushiti) akimiliki mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Mchezaji wa Zimbabwe akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Tanzania katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Mshambuliaji wsa Taifa Stars, Elius Maguri akichuana na beki wa Zimbabwe, Hadebe Teenage katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
'Athletes' lives at risk at Enhanced Games'
-
Athletes' lives could be at risk if the Enhanced Games are allowed to go
ahead, says Australian Sports Commission boss Kieren Perkins.
SolaX Power wird Partner von Borussia Dortmund
-
SolaX Power ist neuer Partner von Borussia Dortmund. Erstmals arbeitet der
BVB mit einem PV-Energiespeicherunternehmen zusammen. Diese internationale
Koope...
Young Gun: Nathan Butler-Oyedeji
-
We catch up with a member of our under-21s squad, Nathan Butler-Oyedeji,
who discusses growing up in East London and more
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment