Beki Michael Aidan wa Tanzania akijiandaa kumtoka mchezaji wa Zimbabwe, Danny Phiri katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0. PICHA ZOTE NA ALFRED LUCAS WA TFF
Beki wa Zimbabwe, Hadebe Teenage akiruka mbele ya mshambuliaji wa Tanzania, Elius Maguri kuwania mpira wa juu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kushiti) akimiliki mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Mchezaji wa Zimbabwe akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Tanzania katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Mshambuliaji wsa Taifa Stars, Elius Maguri akichuana na beki wa Zimbabwe, Hadebe Teenage katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Harare jana. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Lars Ricken wird Geschäftsführer Sport
-
Borussia Dortmund strukturiert seinen Geschäfts- und Unternehmensbereich
Sport neu. Der Präsidialausschuss des Beirates der Borussia Dortmund
Geschäftsführ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment