PLUIJM NAYE ALIHUDHURIA MAZISHI YA MZEE SAID LEO KISUTU
Kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van der Pluijm (kulia) alikuwepo kwenye mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Azam FC, Sheikh Said Muhammad Abeid leo makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh
Kiongozi wa zamani wa Yanga, Abdallah Bin Kleb (katikati) alikuwepo pia
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu likifunguliwa
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia alikuwepo
Rais wa zamani wa TFF, Leodegar Tenga alikuwepo pia
Wachezaji wa Azam Akademi walikuwepo pia leo
Wadau mbalimbali wa michezo wakiwa makaburi ya Kisutu leo
Yussuf Bakhresa kulia naye alikuwepo
Wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye safari ya mwisho ya Sheikh Said
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Abedi Mziba 'Tekero' alikuwepo pia
Viuongozi wa Simba kutoka kulia Hamisi Kisiwa, Said Tuliy na Patrick Kahemele
Kocha wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa alikuwepo
Rais wa TFF, Jamal Malinzi alikuwepo msibani pia
Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa alikuwepo msibani
Pochettino 'like a father' to me - Arteta
-
Arsenal manager Mikel Arteta says Chelsea boss Mauricio Pochettino is like
a "father" to him before Tuesday's match at Emirates Stadium.
Lars Ricken wird Geschäftsführer Sport
-
Borussia Dortmund strukturiert seinen Geschäfts- und Unternehmensbereich
Sport neu. Der Präsidialausschuss des Beirates der Borussia Dortmund
Geschäftsführ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment