Bondia Manny Pacquiao akishangilia baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Jessie Vargas katika pambano la raundi 12 mjini Las Vegas asubuhi hii na kutwaa taji la WBO uzito wa Welter. Pacquiao aliyemdondosha chini Vargas raundi ya pili anafikisha miaka saba bila ushindi wa Knockout (KO) baada ya ushindi wa jana wa pointi, ingawa ameshinda taji la 11 kihistoria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Arsenal v Aston Villa
-
Everything you need to know as we host Aston Villa in our penultimate home
game of the season
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment