Jana ulikuwa ni usiku wa kukumbukwa kwa mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry baada ya kufunga hat-trick katika ushindi wa 8-0 ugenini wa Ujerumani dhidi ya San Marino Uwanja wa Olimpico di Serravalle mjini Serravalle. Mabao mengine ya Ujerumani kwenye mchezo huo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia yalifungwa na Khedira, Hector mawili, Stefanelli na Volland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment