• HABARI MPYA

    Saturday, November 12, 2016

    MCHEZAJI WA ARSENAL APIGA HAT TRICK UJERUMANI YAUA 8-0 KOMBE LA DUNIA

    Jana ulikuwa ni usiku wa kukumbukwa kwa mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry baada ya kufunga hat-trick katika ushindi wa 8-0 ugenini wa Ujerumani dhidi ya San Marino Uwanja wa Olimpico di Serravalle mjini Serravalle. Mabao mengine ya Ujerumani kwenye mchezo huo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia yalifungwa na Khedira, Hector mawili, Stefanelli na Volland PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MCHEZAJI WA ARSENAL APIGA HAT TRICK UJERUMANI YAUA 8-0 KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top