Mshambuliaji wa Fenerbahce, Moussa Sow akibinuka tik tak katikati ya mabeki wa kati wa Manchester United, Marcos Rojo na Daley Blind kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 leo kwenye mchezo wa Kundi A Europa League Uwanja wa Ulker Fenerbahçe Sukru Saracoglu Spor Kompleksi mjini İstanbul, Uturuki. Bao lingine la Fenerbahce lilifungwa na Jeremain Lens wakati la Man United lilifungwa na Nahodha, Wayne Rooney PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephanie Sparks dead at 50: Former Golf Channel host, USA Curtis Cup and
LPGA player passes away
-
Stephanie Sparks, the host of Golf Channel's 'Big Break', passed away last
week at age 50. Sparks was an All-American college golfer at Duke and
hosted sev...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment