Jesus Navas (kushoto) wa Manchester City akijaribu kumlamba chenga Adam Clayton wa Middlesbrough katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 43 kabla ya Marten Roon kuisawazishia Middlesbrough dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment